YANGA SC YAACHANA NA RAMOVIC, YALETA KOCHA WA USM ALGER


KLABU ya Yanga imeachana na kocha Siad Ramovic mwenye uraia wa Ujerumani na kumtambulisha, Miloud Hamdi, Mualgeria mwenye uraia wa Ufaransa pia kuwa Kocha wake Mkuu ambaye anaungana na timu mara moja.




Comments

Popular posts from this blog

SIMBA SC YAAFIKI KUCHEZA ZANZIBAR MARUDIANO NA BERKANE