DODOMA JIJI NA COASTAL UNION HAKUNA MBABE, ZATOKA SULUHU JAMHURI


TIMU za Dodoma Jiji na Coastal Union ya Tanga zimegawana pointi baada ya sare ya bila kufungana katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara usiku huu Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma.
Kwa matokeo hayo, Dodoma Jiji inafikisha pointi 27 katika mchezo wa 22, ikiendelea kukamata nafasi ya nane kwa kuizidi pointi mbili Coastal Union ambayo pia imecheza mechi moja zaidi.


Comments

Popular posts from this blog

NYOTA WA KIKOSI CHA SIMBA KILICHOFIKA FAINALI KOMBE LA CAF 1993, DAMIAN KIMTI AFARIKI DUNIA