MECHI YA SIMBA NA YANGA YAAHIRISHWA RASMI KUPISHA UCHUNGUZI
MCHEZO wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara baina ya watani wa jadi, Yanga na Simba uliopangwa kufanyika leo kuanzia Saa 1:15 usiku umeahirishwa rasmi hadi hapo utakapopangiwa tarehe nyingine.
MCHEZO wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara baina ya watani wa jadi, Yanga na Simba uliopangwa kufanyika leo kuanzia Saa 1:15 usiku umeahirishwa rasmi hadi hapo utakapopangiwa tarehe nyingine.
Comments
Post a Comment