NI AHMED ARAJIGA PILATO WA PAMBANO LA WATANI JUMAMOSI


REFA Ahmed Arajiga ndiye atakayepuliza kipyenga kwenye mechi ya Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara baina ya watani wa jadi, Yanga na Simba Jumamosi wiki hii Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam.
Arajiga, Refa Bora wa nchi katika mchezo atasaidiwa na Mohamed Mkono wa Tanga na Kassim Mpanga wa Dar es Salaam watakaokuwa wakikimbia na vibendera pembezoni mwa Uwanja, wakati mezani atakuwepo Amina Kyando wa Morogoro.


Comments

Popular posts from this blog

NYOTA WA KIKOSI CHA SIMBA KILICHOFIKA FAINALI KOMBE LA CAF 1993, DAMIAN KIMTI AFARIKI DUNIA