PROFESA PHILEMON MIKOL SARUNGI HATUNAYE, AFARIKI DUNIA LEO DAR


ALIYEWAHI kuwa Daktari wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, baadaye Waziri wa Michezo, Profesa Philemon Mikol Sarungi (89) amefariki dunia leo Jijini Dar es Salaam.
Sarungi alikuwa Daktati wa timu za taifa kuanzia miaka ya 1970 hadi 1980 mwanzoni, kabla ya kugeukia siasa na kuwa Mbunge wa jimbo la Rorya na kuteuliwa Waziri wa Michezo.
Sarungi ni mpenzi na mwanachama wa klabu ya Simba SC.
Mungu ampumzishe kwa amani. 




Comments

Popular posts from this blog

NYOTA WA KIKOSI CHA SIMBA KILICHOFIKA FAINALI KOMBE LA CAF 1993, DAMIAN KIMTI AFARIKI DUNIA