SIMBA SC YATISHIA KUTOINGIZA TIMU KWA MKAPA LEO DHIDI YA YANGA


KLABU ya Simba imetishia kutocheza mechi ya Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara dhidi ya Yanga leo baada ya usiku wa jana kuzuiwa kufanya mazoezi ya mwisho Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam kwa mujibu wa kanuni.




Comments

Popular posts from this blog

NYOTA WA KIKOSI CHA SIMBA KILICHOFIKA FAINALI KOMBE LA CAF 1993, DAMIAN KIMTI AFARIKI DUNIA