PEDRO AIPOKONYA TONGE MDOMONI INTER MILAN, 2-2 NA LAZIO


MSHAMBULIAJI mkongwe wa Kispaniola, Pedro Eliezer Rodríguez (37)Ledesma jana aliipokonya tonge mdomoni Inter Milan akiifungia Lazio bao la kusawazisha dakika ya 90 katika sare ya 2-2 kwenye mchezo wa Serie A Uwanja wa Giuseppe Meazza Jijini Milan.
Pedro alifunga pia bao la kwanza la Lazio pia, nalo likiwa la kusawazisha dakika ya 72 baada ya Inter Milan kutangulia na bao la beki Mjerumani Yann Aurel Ludger Bisseck mwenye asili ya Cameroon dakika ya 45'+2, kabla ya beki mwingine, Mholanzi, Denzel Justus Morris Dumfries kufunga la pili dakika ya 79.  
Kwa matokeo hayo, Inter Milan inafikisha pointi 78 na inabaki nafasi ya pili ikizidiwa pointi moja na Napoli baada ya wote kucheza mechi 37. Lazio inafikisha pointi 65 nafasi ya sita.

MSIMAMO WA SERIE A BAADA YA MECHI ZA JANA:

#   Team MP W D L F A D P Last 5 matches H2H
1 37 23 10 4 57 27 +30 79 DDWWW
2 37 23 9 5 77 35 +42 78 DWWLL
3 37 22 8 7 76 34 +42 74 WWWDW
4 37 17 16 4 55 33 +22 67 WDDWL
5 37 19 9 9 54 35 +19 66 WLWWW
6 37 18 11 8 61 48 +13 65 DDWDW
7 Previous rank: 9 37 18 8 11 57 39 +18 62 WLLWW
8 Previous rank: 7 37 16 14 7 56 44 +12 62 LLDDW
9 Previous rank: 8 37 17 9 11 59 43 +16 60 LWWWL
10 37 13 10 14 49 50 -1 49 DWWWW
11 37 10 14 13 39 43 -4 44 LLDLW
12 37 12 8 17 39 53 -14 44 LLWDL
13 37 9 13 15 34 48 -14 40 LDLLL
14 37 9 9 19 40 54 -14 36 WLLWL
15 Previous rank: 16 37 9 7 21 32 65 -33 34 DDLLL
16 Previous rank: 15 37 6 15 16 41 56 -15 33 DLLDW
17 37 7 10 20 26 58 -32 31 WDLDL
18 Previous rank: 19 37 6 13 18 32 57 -25 31 WWLLD
19 Previous rank: 18 37 5 14 18 30 53 -23 29 LWDLD
20 37 3 9 25 28 67 -39 18

  



Comments

Popular posts from this blog

NYOTA WA KIKOSI CHA SIMBA KILICHOFIKA FAINALI KOMBE LA CAF 1993, DAMIAN KIMTI AFARIKI DUNIA