Posts

PAMBANO LA MARUDIANO DEONTAY WILDER VS TYSON FURY (FEBRUARI 22, 2020)

Image

COASTAL UNION 0-0 YANGA SC (LIGI KUU TANZANIA BARA)

Image

MAHOJIANO MAALUM BIN ZUBEIRY NA SHAABAN MKONGWE

Image

SIMBA SC 3-1 BIASHARA UNITED (LIGI KUU TANZANIA BARA)

Image

LEVANTE YAICHAPA REAL MADRID 1-0 NA KUIONDOA KILELENI LA LIGA

Image
Wachezaji wa Levante wakishangilia baada ya Jose Luis Morales kufunga bao pekee dakika ya 79 katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Real Madrid kwenye mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Ciudad de Valencia   PICHA ZAIDI GONGA HAPA

TYSON FURY AMTWANGA WILDER KWA TKO RAUNDI YA SABA NA KUTWAA TAJI LA WBC

Image
Bondia Mmarekani, Deontay Wilder (kulia) akiwa ameketi chini baada ya kuangushwa Muingereza, Tyson Fury (kushoto) katika pambano la ngumi za kulipwa la uzito wa juu asubuhi ya leo ukumbi wa MGM Grand Jijini Las Vegas, Marekani.  Gypsy King alimuangusha mara mbili Bronze Bomber kabla ya wasaidizi wake kurusha taulo ulingoni raundi ya saba kumnusuru na kipigo zaidi hivyo Fury kutwaa taji la WBC kwa ushindi wa Technical Knockout (TKO)   PICHA ZAIDI GONGA HAPA

JESUS APIGA BAO PEKEE MAN CTY YAICHAPA LEICESTR 1-0 KING POWER

Image
Gabriel Jesus (kushoto) akishangilia baada ya kuifungia Manchester City bao pekee dakika ya 80 ikiilaza Leicester City 1-0 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa King Power leo.  Sergio Aguero alikosa penalti iliyookolewa na Kasper Schmeichel, wakati Leicester walilalamika kunyimwa penalti mbili   PICHA ZAIDI GONGA HAPA